Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili ukumbini
wakati wa kikao chake na wabunge wa CCM, leo Mei 19, 2013, katika ukumbi
wa jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Wengine
kushoto ni Spika wa Bunge Anna Makinda, Katibu wa Wabunge wa CCM,
Jenista Mhagama na Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM, Waziri Mkuu Mizengo
Pinda na Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu
Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa
kikao chake na wabunge wa CCM, leo Mei 19, 2013, katika ukumbi wa jengo
la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Wengine kushoto ni
Spika wa Bunge Anna Makinda, Katibu wa Wabunge wa CCM, Jenista Mhagama
na Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Kulia ni
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM
(Bara) Philip Mangula.
Wabunge wa CCM wakiwa kwenye kikao chao na Mwenyekiti wa CCM
Rais Jakaya Kikwete leo kwenye ukumbi wa Jengo la White House, Makao
Makuu ya CCM mjini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba
akibadilishana mawazo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali
Vuai na Katibu wa NEC Oganaizesheni Dk. Muhammed Seif Khatib kwenye
kikao hicho.
Wajumbe kwenye kikao cha Mwenyekiti wa CCM na Wabunge wa CCM
na Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete wakibadilishana mawazo
ukumbini. Walioketi mbele, Kushoto ni Katibu wa NEC Uchumi na Fedha
Zakiah Meghji na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na kulia
ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha-Rose Migoiro
na Mbunge wa Urambo na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel
Sitta.
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha-Rose
Migiro(kulia) akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata wakati
wa kikao hicho. Kushoto ni Mbunge wa Same Anne Kilango Malecela.
Mbunge wa Songea na Waziri wa Mambo ya Ndani,Dk. Emmanuel
Nchimbi (kushoto) akitaniana kuhusu Uyanga na Simba na Mwenyekiti wa
Simba, Mbunge wa Tabora Aden Rage nje ya ukumbi kabla ya kuanza mkutano
huo. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya.Picha na Bashir Nkromo-Dodoma